Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, May 18, 2012

ATC IMEWASILI JIJINI MWANZA MUDA MFUPI UJAO INAREJEA JIJINI DAR ES SALAAM



Kaimu Mkurugenzi wa shirika la ndege la ATC Bw. Paul Chizii kulia akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni hiyo mara baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Mwanza mchana huu ambapo wafanyakazi pamoja na watu mbalimbali ambao wamekuwa wakitumia shirika hilo katika kusafiri wameonekana kufurahia sana kuanza kwa safari za shirika hilo
Katika uwanja wa ndege wa Mwanza kutakuwa na hafla fupi ya kupongezana na kukaribisha ndege hiyo ambapo pia keki itakatwa na kuliwa kwa kuashiria uzinduzi rasmi wa safari zake
Abiria mbalimbali wakishuka mara baada ya ndege hiyo kuwasili jijini Mwanza nchana  huu.
Dada Lilian wa ATC akiwa katika pozi mara baada ya kushuka kwenye ndege hiyo leo mjini  Mwanza.
Abiria wakishuka kwenye ndege.

No comments :

Post a Comment