Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, May 18, 2012

FFU ! wa Ngoma Africa kuvaana na Wakameruni 5,000 Stuttgart,Ujerumani



Wakameruni wapatao zaidi ya 5,000 waishio nchini ujerumani wanatalajia kujimwaga na muziki wa dansi wa Ngoma Africa Band huko mjini Stuttgart,Ujerumani siku ya jumamosi
20 Mai 2012,katika sherehe maalumu kwa ajili  ya nchi yao "Cameroni Challenge" .
Kamati ya maandalizi ya jumuia ya wakameruni nchini Ujerumani imetoa mwaliko kwa
bendi maarufu ya muziki wa dansi barani Ulaya Ngoma Africa band almaarufu FFU,kutumbuiza
katika sherehe hizo zitakazo fanyika mjini Stuttgart,nchini Ujerumani,ambako zitahudhuriwa na
wakameruni 5000 pamoja na wageni wa mataifa mbali mbali.
Mzimu huo wa dansi Ngoma Africa band aka FFU unatarajiwa kutoa burudani ya kuwapandisha
mzuka wadau wote watakao jimwaga uwanjani,
Ngoma Africa band sasa wanatamba na mpini wao mpya " Uhuru wa Habari" sikiliza hapa www.ngoma-africa.com au http://www.ngoma-africa.com

No comments :

Post a Comment