Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, May 26, 2012

SERENGETI YAMKABIDHI ZAWADI YAKE MSHINDI WA JENERETA MKOANI IRINGA




Mwakilishi wa kampuni ya bia ya Serengeti Mkoani Iringa Bw. Philip Ghucha (kulia) akikabidhi jenereta kwa mshindi wa promosheni ya VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO Bw.  Reymond Denis kutoka Iringa aliyejishindia jenereta hiyo kupitia bia ya Tusker Lager, promosheni hiyo  inayoendeshwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti nchi nzima kwa wiki 16 kupitia bia za Premium  Serengeti Lager,Tusker Lager na Pilsner Lager  ambapo zaidi ya milioni 180 zinashindaniwa 
Mshindi wa jenereta Bw. Reymond Denis(katikati) akielezea hisia zake baada ya kukabidhiwa jenereta ambapo alisema kuwa hakutegemea kuwa atashinda lakini sasa anaamini kujaribu ni kushinda na sasa anaweza kufanya kilimo cha umwagiliaji kwa kutumia genereta hiyo,” naishukuru sana SBL kwa kubadisha maisha yangu na kuwa bora zaidi. 
Washabiki na wapenzi wa bia za (SBL) wanywaji wa bia za Tusker na Serengeti wakimpongeza Bw. Reymond Denis ambapo baadaye kila mmoja alipata nafasi ya kutoa maoni na kusema kuwa siku zote waliamini promosheni ni uzushi lakini sasa wamejawa na imani, morali na hamu ya kuendelea kushiriki, “ Kwanza tumefurahi sana SBL kutufuata hadi huku kijijini kwetu kutuletea zawadi kwani tumezoea kampuni zingine wanakuita uifuate mwenyewe na wakati mwingine mtu huna hata shilingi moja ya kusafiri wala ya kusafirishia zawadi hiyo, tunawashukuru sana SBL.

No comments :

Post a Comment