Meneja
wa Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, Jasson Shumbusho (kulia) akikabidhi
mfano wa hundi ya shs Milioni 5.1 kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Sanaa za
Maonyesho ya Ngoma Africa Performing Arts, Davie Kitururu ikiwa ni
udhamini wa NBC katika tamasha la sanaa la watoto la Paukwa. Kushoto ni
Mkurugenzi mwenza wa Taasisi hiyo, Bi. Maya Davie na wengine ni baadhi
ya wafanyakazi wa benki hiyo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment