Meneja
wa Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, Jasson Shumbusho (kulia) akikabidhi
mfano wa hundi ya shs Milioni 5.1 kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Sanaa za
Maonyesho ya Ngoma Africa Performing Arts, Davie Kitururu ikiwa ni
udhamini wa NBC katika tamasha la sanaa la watoto la Paukwa. Kushoto ni
Mkurugenzi mwenza wa Taasisi hiyo, Bi. Maya Davie na wengine ni baadhi
ya wafanyakazi wa benki hiyo.
DKT.MWINYI AAHIDI UWEKEZAJI MKUBWA BWAWANI , KUIMARISHA MJI MKONGWE
-
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein
Ali M...
18 hours ago
No comments :
Post a Comment