Meneja
wa Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, Jasson Shumbusho (kulia) akikabidhi
mfano wa hundi ya shs Milioni 5.1 kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Sanaa za
Maonyesho ya Ngoma Africa Performing Arts, Davie Kitururu ikiwa ni
udhamini wa NBC katika tamasha la sanaa la watoto la Paukwa. Kushoto ni
Mkurugenzi mwenza wa Taasisi hiyo, Bi. Maya Davie na wengine ni baadhi
ya wafanyakazi wa benki hiyo.
MWENEZI PWANI : HOTUBA YA MHE.RAIS SAMIA IMETOA DIRA YA MATUMAINI KWA TAIFA
LETU
-
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Pwani Dkt. David Mramba.
Na Mwandishi Wetu, Kibaha
Katibu wa Siasa ,Uenezi na Mafunzo Cha Mapinduzi...
1 hour ago

No comments :
Post a Comment