Meneja
wa Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, Jasson Shumbusho (kulia) akikabidhi
mfano wa hundi ya shs Milioni 5.1 kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Sanaa za
Maonyesho ya Ngoma Africa Performing Arts, Davie Kitururu ikiwa ni
udhamini wa NBC katika tamasha la sanaa la watoto la Paukwa. Kushoto ni
Mkurugenzi mwenza wa Taasisi hiyo, Bi. Maya Davie na wengine ni baadhi
ya wafanyakazi wa benki hiyo.
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment