Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, May 25, 2012

Ziara ya Naibu Waziri January Makamba Airtel



Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia,  January
Makamba (kushoto) akipokewa na Mkurugenzi Mtendai wa Airtel Tanzania,
Sam Elangallor,  alipofanya ziara kukagua shughuli mbalimbali za
kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana. Katikati ni Mkurugenzi wa
Mawasilino\ wa Airtel, Beatrice Singano Mallya.
Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia,  January
Makamba (kushoto) akipokewa na Ofisa Mkuu wa Biashara wa Airtel
Tanzania, Chiruwi Walingo  alipokwenda kufanya  ziara ili kukagua
shughuli mbalimbali za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana.
Katikati ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano
Mallya.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania, Beatrice Singano
Mallya akiongozana na Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na
Teknolojia, January Makamba (kushoto) katika ofisi za makamo makuu ya
Airtel  wakati wa ziara yake kukagua shughuli mbalimbali za kampuni
hiyo jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sam Elangallor (katikati)
akitoa maelezo kwa Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia,
 January Makamba (kulia) na ujumbe wake wakati wa ziara ya naibu
waziri huyo kukagua shughuli mbalimbali za kampuni hiyo jijini Dar es
Salaam jana

No comments :

Post a Comment