Meneja Masoko wa Airte Bi Rahma Mwapachu
akifafanua jambo jinsi ya kupata facebook bure kupitia ofa za AIRTEl
SUPA 5 mbele ya waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi
wa huduma hiyo mpya ya Airtel ‘AIRTEL SUPA 5’ itakayotoa ofa tano
kuwafaidisha wateja kuongea kwa NUSU Shilingi kwa sekunde siku nzima
kwa marafiki Airtel-Airtel, pia wateja wote wataongea kwa ROBO Shilingi
kwa sekunde usiku kucha Airtel-Airtel, kujipatia SMS 200 Bure Siku Nzima
endapo mteja atatuma SMS10 tu kwa 30Tshs, facebook bure pamoja na
kuburudika intaneti ya bure usiku mzima kwa wateja wote watakaojiunga na
OFA hii ya Airtel SUPA 5 kwa kupiga *149*99#.
MVUA KUBWA KUTARAJIWA KATIKA MAENEO MBALIMBALI NCHINI NDANI YA SAA 24 ZIJAZO
-
Mamlaka ya hali ya hewa imetoa tahadhari ya uwezekano wa vipindi vifupi vya
mvua kubwa katika saa 24 zijazo, hususan katika baadhi ya maeneo ya mikoa
ya ...
2 days ago
No comments :
Post a Comment