Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, May 24, 2012

MBUNGE WA JIMBO LA UBUNGO JOHN MNYIKA BAADA YA KUSHINDA KESI



 Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika akiwapungia Wananchi wa Ubungo Standi huku akitembea kwa Mguu kutoka Mahakamani mara baada ya kushinda kesi jijini Dar es Salaam.
 Akiwapungia wanajimbo lake
 Wanafunzi wa Shule ya Msingi ambao hawakutambulika wanatoka shule gani wakishangilia huku wakiwa kwenye maandamano hayo wakiwa wameshikilia picha ya Mbunge wa Jimbo la Ubungo John Mnyika Dar es Salaam
 Akiwa katika ulinzi mkali akiwapungia wanajimbo lake
 Mnyika akiwapungia wanajimbo la Ubungo akiwa na furaha
 Wakazi wa ubungo wakiwa katika maandamano ya kumpokea Mbunge wa Ubungo John Mnyika
 Wanahabari wakiwa katika harakati za kazi

No comments :

Post a Comment