Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 20, 2010

J-MARTIN AWASILI BONGO TAYARI KWA BURUDANI YA ZAIN

Mwanamuziki kutoka Nigeria J-Martins kulia akiongea wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere. Msanii huyo ambaye yuko nchini kwa mwaliko wa Kampuni ya simu za mkononi ya Zain alitarajia kufanya onyesho jana jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja uhusiano wa Zain Muganyizi Mutta.

No comments :

Post a Comment