Mwanamuziki kutoka Nigeria J-Martins kulia akiongea wa waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere. Msanii huyo ambaye yuko nchini kwa mwaliko wa Kampuni ya simu za mkononi ya Zain alitarajia kufanya onyesho jana jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Meneja uhusiano wa Zain Muganyizi Mutta.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment