Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, April 19, 2010

SIMBA OYEEEEEEEEEEE.......



Nahodha wa Simba Nicodemus Nyagawa (kushoto ) na mlinzi wa timu hiyoJuma Jabu wakishangilia huku wakiwa wambeba Kombe la Ubingwa wa LigiKuu ya Bara mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaamjana.Katika mchezo huo Simba iliicharaza Yanga mabao 4-3. (Picha naMohamed Mambo)
Mbali na ushindi huo Simba ilikuwa inakabidhiwa kombe lake mara baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi kuu ya Vodacom msimu huu bila kufungwa hata mchezo mmoja ambapo imeshinda michezo 19 imedroo miwili na bado ina mchezo mmoja mkononi wa kukamilisha ratiba dhidi ya Mtibwa Sugar ya Manungu Mkoani Morogoro.
Katika mchezo wa jana wachezaji watatu walipewa kadi nyekundu ambao ni Wisdom Ndlovu na Amir Maftaha wa Yanga baada ya kucheza mchezo mbaya dhidi ya wachezaji wa Simba Salm Kanoni na Juma Kaseja wakati Hilary Echesa wa Simba alipewa kadi nyekundu baada ya kuvua jezi alipokuwa akishangilia goli la nne alilofunga dhidi ya Yanga.

No comments :

Post a Comment