Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, April 24, 2010

WASHINDI 21 WAPATIKANA ZAIN AFRCAN CHALLENGE

Afisa mawasiliano ya ndani wa Zain Tanzania Dangio Kaniki (kushoto) akimkabidhi simu ya mkononi mshindi katika shindano la kujibu maswali kwa njia ya SMS wakati wa kipindi cha Zain Africa Challenge, Juma Mustafa wa Dar es Salaam baada ya kuibuka mshindi. Shindano hilo limeapata jumla ya washindi 23 kutoka sehemu mbalimbali nchini. Kulia ni meneja wa huduma za jamii wa Zain,Washindi katika shindano la kujibu maswali kwa njia SMS wakati wa shindano la Zain Africa Challenge yanayoonyeshwa katika luninga ya TBC 1 wakiwa katika picha ya pamoja bada ya kukabidhiwa zawadi zao katika makao makuu ya ofisi za Zain jijini Dar es Salaam. Kushoto afisa mawasilano ya ndani wa Zain Dangio Kaniki na kulia ni meneja wa huduma za jamii wa Zain, Tunu Kavishe.Afisa mawasiliano ya ndani wa Zain Tanzania Dangio Kaniki (kushoto) akimkabidhi simu ya mkononi mshindi katika shindano la kujibu maswali kwa njia ya SMS wakati wa kipindi cha Zain Africa Challenge, Salvatory Mkami wa Dar es Salaam baada ya kuibuka mshindi. Shindano hilo limeapata jumla ya washindi 23 kutoka sehemu mbalimbali nchini. Kulia ni meneja wa huduma za jamii wa Zain.

No comments :

Post a Comment