Mkurungenzi mkuu wa kampuni ya Zain Tanzania Khaled Muhtad, ofisa uhusiano wa kampuni hiyo Bwana Muganyizi Mutta wakishilikiana na wafanyakazi wa kampuni hiyo katika zoezi la kupanda miti kwenye Barabara ya Bagamoyo Dar es Salaam juzi kiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya uhifadhi wa Mazingira, Kauli mbiu ni ( Panda Miti tunza Mazingira)
SIYO MAWASILIANO HATA KAZI ZA KIJAMII ZAIN TUPO
MAKAMU WA RAIS DKT.MPANGO KUMUWAKILISHA RAIS JIJINI NICE UFARANSA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango,
leo tarehe 07 Juni 2025 ameondoka nchini kuelekea Ufaransa kumwakilisha
Rais w...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment