Mkurungenzi mkuu wa kampuni ya Zain Tanzania Khaled Muhtad, ofisa uhusiano wa kampuni hiyo Bwana Muganyizi Mutta wakishilikiana na wafanyakazi wa kampuni hiyo katika zoezi la kupanda miti kwenye Barabara ya Bagamoyo Dar es Salaam juzi kiwa ni sehemu ya maadhimisho ya siku ya uhifadhi wa Mazingira, Kauli mbiu ni ( Panda Miti tunza Mazingira)
SIYO MAWASILIANO HATA KAZI ZA KIJAMII ZAIN TUPO
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment