Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, April 3, 2010

NGUMI - MASHABIKI THUDHURIE KAMA TUNAVYOKWENDA KATIKA SOKA

Mashabiki wa masumbwi wameombwa kujitokeza kwa wingi katika tamasha la Michezo la Pasaka linalotaraji kufanyika Jumapili wiki hii kwenye Ukumbi wa Rungwe jijini Dar es Salaam.

Mwandaaji wa tamasha hilo Godfrey Madenge amesema Mbunge wa Viti maalum Chadema Halima mdee pamoja na bingwa wa dunia wa kickboxing wa WKL na WKC Japhet Kaseba wanatarajiwa kuwa wageni rasmi.

Aidha amesema lengo la kuandaa tamasha hilo ni kutoa burudani pamoja na kuibua vipaji vya soka kwa vijana.

Amesema vijana wa maeneo ya boko na Tegeta ni wapenda michezo lakini hakuna mtu ambaye anaweza kuwaandalia michezo hivyo ameona ni bora kuwapa furaha ambayo ataiendeleza kila mwaka.

No comments :

Post a Comment