Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 21, 2010

UZINDUZI WA "UHURU WA KUONGEA" WA ZAIN WAFANA J-MARTIN AFANYA KWELI

Huyu ni J-Martin akitoa burudani wakati wa uzinduzi wa UHURU WA KUONGEA katika jengo jipya la Zain, kiukweli jukwaa lilipendeza sana, watu nyomi, full kujiachia na ZAIN

Hapa Brother J-Martin akikamua kitu cha OYOYO wacha Bwana

Kama vipi tucheze pamoja jamani.....




Chidi Benzi kutoka Ilala aliwakilisha vema kwa upande wa wasanii wa Tanzania, jambo la kupongezwa ni kuweza kupiga bonge la shoo akiwa na bendi yake LIVE.Dar es Salaam Stand up, put yo hands up heya heee Dar es Salaam Stand up put yo hands up chichichichi chidi Benziii yoooooo
Sumu ya penzi ukishailambaa hata kwa maziwa huwezi kukuna" ndivyo anavyoimba Belle 9 wakati wa uzinduzi wa UHURU WA KUONGEA wa ZAIN.

No comments :

Post a Comment