Huyu ni J-Martin akitoa burudani wakati wa uzinduzi wa UHURU WA KUONGEA katika jengo jipya la Zain, kiukweli jukwaa lilipendeza sana, watu nyomi, full kujiachia na ZAIN
Hapa Brother J-Martin akikamua kitu cha OYOYO wacha Bwana
Kama vipi tucheze pamoja jamani.....
Chidi Benzi kutoka Ilala aliwakilisha vema kwa upande wa wasanii wa Tanzania, jambo la kupongezwa ni kuweza kupiga bonge la shoo akiwa na bendi yake LIVE.Dar es Salaam Stand up, put yo hands up heya heee Dar es Salaam Stand up put yo hands up chichichichi chidi Benziii yoooooo
Sumu ya penzi ukishailambaa hata kwa maziwa huwezi kukuna" ndivyo anavyoimba Belle 9 wakati wa uzinduzi wa UHURU WA KUONGEA wa ZAIN.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment