Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 14, 2010

MECHI YA SIMBA NA YANGA PRESHA TUPU

Watoto wa Jangwani Yanga wametamba wako kwenye morali ya juu kuua mnyama hapo Jumapili kwenye uwanja wa Taifa mchezo utakaopigwa usiku saa 2.

Afisa habari wa Yanga Luis Sendeu amesema kikosi kiko imara na kinaendelea na maandalizi yake vizuri huku leo wakipokea wachezaji wawili wa kigeni wanaotokea nchini Ghana waliokuja kufanya majaribio.

Wakati Watoto hao wa Jangwani wakijinadi hivyo huko Msimbazi nao wanasema wako tayari kuwatia kitanzini watoto hao wa Jangwani.

Meneja wa Simba Innocent Njovu anasema wako kamili na kocha Patrick Phiri anarejea kesho kuwaongezea nguvu zaidi.

No comments :

Post a Comment