Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, April 19, 2010

ZAIN YASAIDIA ELIMU, YATOA VITABU VYENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 4 TANGA

Mkuuu wa wilaya ya Lushoto Sophia Mjema (katikati) akimkabidhi Frank Glibety mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Kisaba iliyopo wilayani humo vitabu vyenye thamani ya Shilingi milioni 2 ambavyo vimetolewa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain kupitia mradi wake wa “Build Our Nation”. Kwa ajili ya shule hiyo ya Kisaba na shule ya sekondari ya Vugabazo mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Zain, Muganyizi Mutta.

Mkuu wa wilaya ya Lushoto Sophia Mjema (katikati) akimkabidhi Juma kibwana mwanafunzi wa shule ya Sekondari ya Vugabazo iliyopo wilayani humo wiki hii. Vitabu vyenye thamani ya Shilingi milioni 2 ambavyo vimetolewa na kampuni ya simu za mkononi ya Zain kupitia mradi wake wa “Build Our Nation”. Kwa ajili ya shule hiyo ya Vugabazo na shule ya sekondari ya Kisaba mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Zain, Muganyizi Mutta.

No comments :

Post a Comment