Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 13, 2010

KAMATI YA SIMBA YAKUTANA KUNYOA WAGOMBEA


Kamati ya uchaguzi ya klabu ya Simba imekutana leo kwenye uwanja wa Uhuru Dar Es Salaam kupitia majina ya wale wote walioomba ubosi ndani ya klabu hiyo.

Katika kikao hicho ambacho kilipitia kwa undani majina yote na kutazama kama wametimiza vigezo vyote vya kikatiba vinavyotakiwa kilikuwa kigumu na hatimaye kufikia kile kilichokuwa kikitakiwa.

Uongozi wa kamati hiyo chini ya Damas Ndumbaro wamesema hapo Jumanne saa 6 mchana ndipo watatoa taarifa rasmi za wagombea wote waliotimiza vigezo vinavyotakiwa vya kuwania ubosi ndani ya klabu hiyo.

Hata hivyo taarifa zisizorasmi zinasema kuwa mwenyekiti wa sasa ambaye anatetea kiti chake Hassan Dalali ametemwa.

No comments :

Post a Comment