Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 14, 2010

SHINYANGA KUJENGA SHULE YA MICHEZO

Mdau wa soka na mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Hamis Mgeja ameamua kujikita na kuwekeza kwenye sekta ya michezo nchini.

Mgeja amesema sasa ameamua kuwekeza kwenye sekta ya michezo akiwa na malengo ya kuanzisha kituo cha michezo kitakachoanza kujengwa mwezi ujao huko Shinyanga huku hii leo akikabidhi mipira kwa timu mbalimbali zikiwemo za Wilayani Maswa kwenye kata ya Kadoto.

No comments :

Post a Comment