Raisi wa shirikisho la kandanda Tanzania Leodga Chilla Tenga (katikati) akizungumza na waandishi wa habari za michezo wakati wa ufunguzi wa Semina ya MALERIA HAIKUBALIKI, kushoto ni katibu mkuu wa TFF Fredrick Mwakalebela, na kulia ni Anne mratibu wa Marelia Haikubaliki.
Tenga amesema michezo inanafasi kubwa ya kupambana na Maleria kufuatia kuhusisha watu wengi, lakini mchezo wa mpira licha ya kuchezwa dakika 90 hutajwa na kuzungumzwa zaidi ya dakika 90.
Tenga ametolea mfano mchezo wa Simba na Yanga licha ya kuchezwa Jumapili ya tarehe 18 lakini hadi leo bado unajadiliwa, hivyo kupambana na Maleria kupitia michezo itakuwa ni rahisi zaidi kuwafikia watu wengi zaidi pengine kuliko njia yeyote.
Amesema Tayari wamekwishaanza kutoa mafunzo kwa wachezaji wa timu ya taifa TAIFA STARS na wamewateua kuwa mabalozi wa MALERIA HAIKUBALIKI lakini pia wamewagawia vyandarua, wamefanya hivyo pia kwa timu ya U-20 pamoja na timu tisa zilizoshiriki ligi daraja la kwanza dhidi ya matumizi ya chandarua ikiwa ni kinga ya kwanza.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment