Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 21, 2010

SOKA KJUTUMIKA KUPAMBANA NA MALERIA TANZANIA

Raisi wa shirikisho la kandanda Tanzania Leodga Chilla Tenga (katikati) akizungumza na waandishi wa habari za michezo wakati wa ufunguzi wa Semina ya MALERIA HAIKUBALIKI, kushoto ni katibu mkuu wa TFF Fredrick Mwakalebela, na kulia ni Anne mratibu wa Marelia Haikubaliki.

Tenga amesema michezo inanafasi kubwa ya kupambana na Maleria kufuatia kuhusisha watu wengi, lakini mchezo wa mpira licha ya kuchezwa dakika 90 hutajwa na kuzungumzwa zaidi ya dakika 90.
Tenga ametolea mfano mchezo wa Simba na Yanga licha ya kuchezwa Jumapili ya tarehe 18 lakini hadi leo bado unajadiliwa, hivyo kupambana na Maleria kupitia michezo itakuwa ni rahisi zaidi kuwafikia watu wengi zaidi pengine kuliko njia yeyote.
Amesema Tayari wamekwishaanza kutoa mafunzo kwa wachezaji wa timu ya taifa TAIFA STARS na wamewateua kuwa mabalozi wa MALERIA HAIKUBALIKI lakini pia wamewagawia vyandarua, wamefanya hivyo pia kwa timu ya U-20 pamoja na timu tisa zilizoshiriki ligi daraja la kwanza dhidi ya matumizi ya chandarua ikiwa ni kinga ya kwanza.

No comments :

Post a Comment