Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 14, 2010

TIMU YA TAIFA YA VIJANA U-20 KUONDOKA KESHO

TIMU ya Taifa ya vijana chini ya miaka 20 Ngorongoro Heroez leo imekabidhiwa bendera ya taifa na Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya michezo Juliana Matagi Yasoda ikiwa ni ishara ya kikosi hicho kwenda kuiwakilisha nchi kwenye mchezo wa awali wa kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Africa kwa vijana dhidi ya Malawi,mchezo utakaopigwa Jumamosi huko Malawi.

Ngorongoro Heroes itaondoka kesho ikiwa na jumla ya wachezaji 20 na viongozi saba msafara utakaoongozwa na mwenyekiti wa maendeleo ya soka la Vijana Alhaji Ahmed Msafiri Mgoyi.

Akizungumza baada ya kukabidhi bendera Matagi Yasoda amewataka vijana hao kurudi na ushindi.

Rais wa Shirikisho la soka nchini TFF Leodger Tenga amesema kikosi hicho ndio Taifa Starz ya baadaye.

WACHEZAJI WATAKAOONGOKA KESHO NI
1. KHOMEINY ABUBAKARI
2. AMANI KYATA
3. LEORNAD MUYINGA
4. TUMBA SWEDI
5. KIBANDA JUKUMU JOAKIM
6. HIMID MAO
7. ISSA RASHID ISSA
8. JOHANES SALVATORY
9. ABUU UBWA ZUBERI
10. FURAHA YAHAYA TEMBO
11. THOMAS ULIMWENGU
12. SALUM ABDULL TELELA
13. ABDALLAH BUNU
14. MBWANA SAMATA
15. YUSUPH SOKA
16. RAJABU ISIHAKA ABDALLA
17. MOHAMMED HAMIS THABIT
18. OMEGA SEME
19. SALUM ABUBAKARI
20. SWALEHE KABARI FARAJI

KILA LA KHERI U-20

No comments :

Post a Comment