Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 21, 2010

MAXIMO ATANGAZA KIKOSI KITAKACHOIVAA RWANDA

kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania TFF Marcio Basilio Maximo (katikati) akitangaza majina ya timu ya Taifa itakayoingia kambini kujiandaa na mchezo wa kufuzu michuano ya CHAN ambayo inajumuisha wachezaji wa ndani, timu ya Tanzania inataraji kukutana na Rwanda.

wachezaji waliyoitwa ni pamoja na.

Golikipa
Shabani Kado Mtibwa
Jackson Chove JKT

FULLBACKS
Shadrack Nsajigwa Yanga
Salum Kanoni Simba
Juma Jabu Simba
Stephano Mwasika Moro UTD

CENTER BACKS
Nadir Haroub (Canavaro) Yanga
Kevin Yondani Simba
Aggrey Morris Azam Fc
David Naftal Simba
Dickson Daudi Mtibwa

MIDFIELDERS
Erasto Nyoni Azam
Nurdin Bakari Yanga
Jabir Aziz Simba
Ibrahim Mwaipopo Azam
Kigi Makasi Yanga
Shaban Nditi Mtibwa
Abdi Kassim Yanga
Uhuru Suleiman Simba
Selemani Kassim Azam

FORWARDS
Mrisho Ngassa Yanga
John BOcco Azam
Mussa Mgosi Simba
Jerson Tegete Yanga
MIchael Mgimwa Moro UTD U-20
Yusuf Abbas Soka African Lyon U-20
Joanas Kajuna African Lyon U-20

No comments :

Post a Comment