Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, April 15, 2010

RENARD AWEKA MIPANGO YA 2012 MATAIFA YA AFRIKA

Kocha mpya wa timu ya taifa ya Angola Herve Renard amejiwekea malengo ya kutaka kufuzu kucheza mataiafa ya Afrika mwaka 2012 kuwa ni kiwango cha kati katika malengo ya mafunzo kwa Palancas Negras.

katika mahijiano yaliyofanyika nyumbani kwake mjini Luanda, Mfaransa huyo amewaomba wananchi wa Angolan kuwa na subira katika kipindi hiki, na kusema "much work to be done" kuijenga upya timu ya taifa ya Angola.

Kocha huyo wa zamani wa Zambia wiki iliyopita alitajwa kuchukua nafasi ya kocha Manuel Jose, Mreno ambaye aliiongoza Angola katika fainali za mataifa ya Afrika mwezi januari.

Jose aliondoka baada ya tumaini la Angola la kutwaa uchampion wa mataifa ya Afrika kutoweka huku michuano ikipigwa katika ardhi ya nyumbani, walitolewa katika hatua ya robo fainali na timu ya taifa ya Ghana.

No comments :

Post a Comment