Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, March 25, 2010

SIMBA YAPATWA NA KIGUGUMIZI UJIO WA PHIRI

Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa Wekundu wa Msimbazi Simba wameanza maandalizi kwaajili ya mchezo wao wa marudiano wa kombe la Shirikisho dhidi ya Lengthens ya Zimbabwe utakaopigwa Jumapili April 4 kwenye uwanja wa UHURU Dar Es Salaam huku kocha wa kikosi hicho Mzambia Patrick Phiri akishindwa kuwasili hapo jana kama alivyotakiwa.

Akizungumza kutoka nyumbani kwao Zambia Phiri amesema kuna masuala yamemkwamisha na pale atakapoyakamilisha ndipo atarejea nchini.

Phiri alipoulizwa lini hasa atarejea kati ya kesho Ijumaa au Jumamosi akasema atabainisha pale atakapokuwa na uhakika lakini akisema huenda kambi ya kikosi hicho ikawekwa Zanzibar kuanzia Jumatatu huku akisema hata kama angewahi kurudi programme yake isingetimia kwakuwa kuna wachezaji takribani nane wapo kwenye kikosi cha Taifa Starz kinachocheza na SOMALIA .


Wekundu hao tayari wameanza maandalizi yao bila ya Phiri wakiwa chini ya kocha msaidizi Amri Said wakianza na mazoezi ya ufukweni.

No comments :

Post a Comment