Timu ya wanawake wa Tanzania ya mpira wa mikono, imepewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa michuano maalum ya Afrika mashariki na kati *Kombe la Challenge* itakayoanza kutimua vumbi lake April 29-May 5 mwaka huu huko nchini Djibouti.
Nafasi hiyo kwa timu ya Tanzania imetolewa na katibu mkuu wa Chama cha mpira wa mikono hapa nchini TAHA, Nickolaus Mihayo alipozungumza na Michezo na Times ambapo amesema mpaka sasa timu hiyo inajiandaa vyema.
Hata hivyo Mihayo amesema timu ya Tanzania itaundwa na wachezaji kutoka Tanzani bara na visiwani ambao watatangazwa hivi karibuni.
JAB YAKABIDHI VITAMBULISHO VYA UANDISHI KWA WAANDISHI WALIOKIDHI VIGEZO VYA
KISHERIA
-
Dar es Salaam, Tanzania – Julai 2025
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),
Wakili Patrick Kipangula, amemkabidhi rasmi ...
6 hours ago
No comments :
Post a Comment