Timu ya wanawake wa Tanzania ya mpira wa mikono, imepewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa michuano maalum ya Afrika mashariki na kati *Kombe la Challenge* itakayoanza kutimua vumbi lake April 29-May 5 mwaka huu huko nchini Djibouti.
Nafasi hiyo kwa timu ya Tanzania imetolewa na katibu mkuu wa Chama cha mpira wa mikono hapa nchini TAHA, Nickolaus Mihayo alipozungumza na Michezo na Times ambapo amesema mpaka sasa timu hiyo inajiandaa vyema.
Hata hivyo Mihayo amesema timu ya Tanzania itaundwa na wachezaji kutoka Tanzani bara na visiwani ambao watatangazwa hivi karibuni.
TUME YA HAKI ZA BINADAMU YAWAFUNDA MAFIA
-
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imeendesha mafunzo ya uzingatiaji
wa haki za binadamu katika ufikiaji, upatikanaji na usimamizi wa rasilimali ...
2 days ago
No comments :
Post a Comment