Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 12, 2010

AFRICAN KUCHEZA LIGI KUU MSIMU UJAO NI BAADA YA KUICHAPA MAJIMAJI

Klabu ya African Lyon imefanikiwa kuitandika timu ya Majimaji ya Songea kwa magoli 2-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara.
Kocha msaidizi wa timu ya African Lyon Suleiman Matola amesema ushindi huo unawafanya kupata uhakika wa kuendelea kubakia kwenye ligi kuu Tanzania Bara msimu ujao.
Kufuatia ushindi huo sasa African Lyon imefikisha Jumla ya Pointi 23.

No comments :

Post a Comment