Klabu ya African Lyon imefanikiwa kuitandika timu ya Majimaji ya Songea kwa magoli 2-0 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara.
Kocha msaidizi wa timu ya African Lyon Suleiman Matola amesema ushindi huo unawafanya kupata uhakika wa kuendelea kubakia kwenye ligi kuu Tanzania Bara msimu ujao.
Kufuatia ushindi huo sasa African Lyon imefikisha Jumla ya Pointi 23.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment