Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 19, 2010

MKWASA: TWIGA STARS ITAWAFUNGA ETHIOPI, NJOONI JUMAMOSI MUONE


Kocha mkuu wa Timu ya taifa ya wanawake Twiga Starz inayojiandaa na mchezo wake wa marudiano na Ethiopia wa kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Africa Charles Boniface Mkwasa amesema maandalizi yanaendelea vizuri kuelekea mchezo huo utakaopigwa Jumamosi kwenye Uwanja wa UHURU.

Mkwasa amesema vijana wake wapo sawa sawa na wapo tayari kwa mchezo huo wa Jumamosi.
Aidha Mkwasa amewataka mashabiki wa kandanda Tanzania kujitokeza kwa wingi katika mchezo huo kuwapa sapoti wanawake na siyo kusubiri hadi pale timu ya taifa ya wanaume inapocheza.
Amesema michango ya hali na mali inayotolewa itakuwa na faida kubwa endapo itaongezewa na morari wa mashabiki kufurika uwanjani na kuwashangilia wanawake wanaoliwakilisha taifa katika michuano ya kimataifa ya kufuzu kucheza mataifa ya Afrika kwa upande wa wanawake.

No comments :

Post a Comment