Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 12, 2010

BUSSINESS TIMES LLIMETED YAICHAPA RADIO KHERI - NSSF CUP

Timu ya Bussiness Times Limited maarufu The Bize ikiwa ni wamiliki wa gazeti la majira, Dar Leo, Spoti Starehe, Bussines Times na Radio Times FM leo wamefanikiwa kutnga hatua ya robo fainali ya michuano ya kombe la NSSF.
The Bize imefanikiwa kutinga robo fainali baada ya kuizaba Radio Kheri kwa magoli 2-0.
Mchezaji Rehure Nyaulawa ambaye ni mkurugenzi wa Radio Times FM ndiyo alikuwa wa kwanza kuwanyanyua mashabiki wa The Bize baada ya kufunga goli kwanza katika dakika ya 60 kipindi cha pili.
Kama haitoshi mchezaji Sande George alifunga goli la pili na la ushindi katika dakika ya 75 ya mchezo.
Ushindi huo mnono wa The Bize ulitokana na namna ambavyo walilisakama lango la radio Kheri na kuhakikisha wizara ya Ulinzi haitoi nafasi ya mchezaji yeyote kukutana wala kusalimiana na golikipa wa The Bize.
baada ya ushindi huo wa The Bize sasa watakutana na timu ya NSSF ambao ni wenyeji wa mashindano hayo katika mchezo wa robo fainali hapo siku ya Jumatatu ya tarehe 15 mwezi Machi, 2010.

No comments :

Post a Comment