Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, March 15, 2010

SIMBA BINGWA LIGI KUU TANZANIA BARA 2009/2010

Klabu ya Simba ya Dar es Salaam imefanikiwa kutangaza ubingwa wa ligi kuu Tanzania Bara baada ya kuichapa timu ya Azam FC magoli mawili kwa bila katika mchezo uliyopigwa kunako uwanja wa Uhuru.
Shujaa wa Simba katika mchezo huo alikuwa mchezaji wa kimataifa wa Kenya Mike Barasa.
Kufuatia ushindi huo SImba inafikisha Jumla ya pointi 56 ambazo haziwezi kufikiwa na klabu yeyote katika ligi kuu Tanzania Bara.Klabu ya Yanga ambayo inashikilia nafasi ya pili, ikiwa na jumla ya pointi 45, hivyo hata ikishinda michezo yote itafikisha jumla ya pointi 54 hivyo kuwalazimu Simba kutangazA ubingwa mapema huku wakiwa wamebakiza michezo miwili kabla ya kumaliza ligi Kuu Tanzania Bara.

No comments :

Post a Comment