Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 12, 2010

WAHITIMU WA MAFUNZO YA SOKA LA WANAWAKE WATAKIWA KUKUZA MCHEZO HUO TANZANIA

Semina ya soka la wanawake iliyokuwa ikiendelea kwenye makao makuu ya shirikisho la kandanda Tanzania TFF uwanja wa karume imefikia tamati hii leo chini ya mkufunzi wa shirikisho la soka Dunia FIFA.
Akizungumza mara baada ya semina hiyo mkufunzi huyo wa FIFA MONICA STARB amesema wanawake wanaweza wakafanya vizuri katika mchezo wa soka endapop wataendelezwa.
Amesema licha ya nchi nyingi zilizoendelea haziruhusu wanawake kufanya kile wanachokipenda lakini amedai kwa kuendelea wanawake kufanya vizuri kutaendelea kufungua milango.
Ameongeza kuwa ili wanawake milango yao ya mafanikio iweze kufanikiwa wanalazimika kuyatumia vema mafunzo hayo ambayo wameyapata kwa kuinua soka la wanawake Tanzania.
Amesisitiza ni muhimu kuwepo kwa makocha wazuri wanawake lakini pia ukapewa kipaumbele mashuleni na wazazi wakahusishwa katika kuhamisisha mchezo wa soka la wanawake Tanzania.

No comments :

Post a Comment