Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, March 22, 2010

SERIKALI NGUMI TUNATAKA VIFAA

Serikali imeombwa kusaidia vifaa vya mazoezi ya mchezo wa ngumi za ridhaa ili timu taifa ijiandae vizuri katika michuano ya jumuia ya madola itakayoanza Oktoba mwaka huu New Delh nchini India.

Akizungumza na kipindi hiki Naodha wa timu ya taifa ya mchezo wa ngumi Joseph Martini amesema wametembelea nchi mbalimbali na kuona mabondia wenzao wanavyofanaya mazoezi na vifaa vizuri lakini kwa upande wao wanashindwa kufanya mazoezi vizuri kutokana na tatizo la vifaa.

No comments :

Post a Comment