Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 19, 2010

SIMBA DIMBANI LEO ZIMBABWE


KIKOSI CHA SIMBA
Wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kombe la Shirikisho Wekundu wa Msimbazi Simba IJUMAA wanashuka dimbani huko HARARE kukipiga na Lengthens ya Zimbabwe mchezo utakaopigwa kwenye dimba la RUFALO lililopo eneo maarufu la MBARE kilomita 13 kutoka kwenye hotel ya CREASTER waliofikia Wekundu hao.

Wekundu hao huenda wakamkosa beki wake wa kushoto Juma Jabu ambaye ana maumivu ya kisigino na ameshindwa kufanya mazoezi na wenzake.

Simba wamefanya maandalizi yao ya mwisho leo asubuhi na wakiwa tayari kwa pambano hilo la kesho litakakalochezwa saa kumi jioni kwa Zimbabwe ambayo itakuwa saa 11 jioni kwa nyumbani TANZANIA.

Tayari nahodha wa wekundu hao Nico Nyagawa amekwishaweka bayana kuwa hapo kesho kwa dua na sala za waTanzania ushindi upo.
KIKOSI CHA LENGTHES FOOTBALL CLUB

Simba na Lengthens ni kama wanafungua njia Huko Zimbabwe ikiitwa wiki yenye shamrashamra za soka kwani hapo Jumamosi nako kuna mchezo mwingine utakaowakutanisha GUNNERS dhidi ya Al Ahly ya Misri na hapo Jumapili CAPS UNITED watashuka dimbani kuwakaribisha MOROKA SWALLOS ya AFRICA KUSINI mechi zote zikipigwa kwenye dimba hilo la RUFARO.

MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI SIMBA SPORTS CLUB

No comments :

Post a Comment