Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 19, 2010

SIMBA YAISASAMBUA LENGTHEN FC, ZIMBABWE

Klabu ya Simba imefanikikwa kuanza vema michuano ya kombe la shirikisho nchini Zimbabwe dhidi ya klabu ya Lengthen FC kwa kuichapa goli 3-0.
Mashuja wa simba katika mchezo wa leo walikuwa n Mohammed Banka aliyefunga goli la kwanza na Musa Hassan "Mgosi" aliyefunga goli la pili katika kipindi cha kwanza.
Kipindi cha pili ambacho kilianza kwa kasi huku klabu ya Lengthen Fc ikifanya jitihada za kusaka hata goli moja la kufutia machozi lakini walinzi wa Simba walifanya kazi nzuri ya kuwadhibiti safu ya washabuliaji wa klabu hiyo changa ya Zimbabwe.
MOhammed Kijuso ndiye aliyehitimisha karamu ya magoli 3-0 kwa Simba.
Ushindi huo unaifanya Simba sasa kutengeneza mazingira mazuri ya kusonga mbele, pindi watakapokutana wikki mbili zijazo katika mchezo wa marudiano ambapo Simba sasa itakuwa nyumbani.
Klabu ya Simba inatarajiwa kureje Tanzania Kesho asubuhi kuanza maandalizi ya mchezo wa marudiano.

No comments :

Post a Comment