Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, March 14, 2010

GOFU YA LUGALO YAENDELEA KUNUFAIKA NA ZAWADI ZA ZAIN

Warui Mwangi (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa kapteni wa klabu ya gofu ya Lugalo, Samuel Hagu baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya gofu yaliyofanyika jumamosi katika viwanja vya gofu vya Lugalo jijini Dar es Salaam.Mchezaji gofu kutoka Zambia Goege Stuart akipiga mpira kuelekea shimoni, katika mashindano ya gofu yaliyofanyika katika viwanja vya gofu vya Lugalo jijini Dar es saalam jumamosi.Mchezaji gofu kutoka Zambia Kain Mbaya akijiandaa kupiga mpira wa gofu kelekea shmoni, katika mashindano ya gofu yaliyofanyika katika viwanja vya gofu vya Lugalo jana Dar es saalam.Alex Kiome (kulia) akipokea zawadi kutoka kwa kapteni wa klabu ya gofu ya Lugalo, Samuel Hagu baada ya kuwabwaga zaidi ya wachezaji themanini na tano( 85) na kuibuka mshindi wa jumla, katika mashindano ya gofu yaliyofanyika jumamosi katika viwanja vya gofu vya Lugalo jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment