Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, March 22, 2010

RIADHA TANZANIA KUONDOKA MACHI 25 KWENDA POLAND

Timu ya taifa ya mchezo wa riadha inatarajia kuondoka nchini marchi 25 kuelekea nchini Poland kushiriki mashindano ya Dunia ya Mbio za nyika yatakayoanza marchi 28 mwaka huu nchini humo.

Maashindano hayo ya kila mwaka yanashirikisha wachezaji wote kutoka nchi zote zinashiriki mchezo huo huku timu ya Tanzania ikiwakilishwa na wachezaji kumi na moja.

Katibu mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania AT, Suleimani Mujaya Nyambui amesema kwamba kwa sasa wapo katika maandalizi ya mwisho mwisho ili kuhakikisha timu inaondoka bila ya matatizo yeyote.

No comments :

Post a Comment