Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, March 8, 2010

YANGA YAHARIBU SHANGWE ZA SIMBA, YAIFUNGA AZAM FC

Ligi kuu ya Vodacom imeingia katika raundi ya 19 kwa kumalizia mchezo wa mwisho kati ya Azam FC na Yanga ambapo umeshuhudia Yanga ikiibuka na ushindi ya 2-1 na hivyo kuizuia Simba kutangaza ubingwa mapema
Mechi hiyo iliyochezwa katika uwanja wa uhuru, Yanga walianza kupata bao la kwanza dakika ya 15 kupitia kwa mchezaji Mrisho Ngasa.
Dakika ya 26 Yanga walipata goli la pili kutoka kwa Jerryson Tegete baada ya mabeki wa Azam FC kufanya uzembe golini.
Mshambuliaji wa Azam FC, John Bocco alifunga goli la pili kwa njia ya penalt iliyopatikana baada ya beki wa Yanga George Owino kumwangusha mchezaji wa Azam FC Yahya Tumbo katika eneo la hatari.
Mchezo huo uliojaza mashabiki wengi hadi mapumziko matokeo yalikua 2-1, Kipindi cha pili Azam walibadilisha mchezo na kutoa mashambuliz mengi, Bocco na Tumbo walikosa nafasi nyingi za wazi.
Azam FC, Vladmir Niyonkuru, Ibrahim Shikanda, malika ndeule, aggrey Morris, erasto nyoni/Luckson Kakolaki, Ibrahim Mwaipopo, Danny Wagaluka, salum aboubakar, Seleman Kassim,/Shaban Kisiga, John Bocco, yahya tumbo

No comments :

Post a Comment