Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, March 15, 2010

TBF WAAHIDI MAJIJI KURUDI NA UBINGWA WA KIKAPU TOKA MOMBASA, KENYA

Katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa kikapu nchini TBF Alexender Msofe amesema wameandaa mikakati mizito ya kuzisaidia timu za majiji ya Tanzania ili ziweze kufanya vyema kwenye michuano ya majiji inayotarajia kuanza March 22 katika jiji la Mombasa nchini Kenya.
Akizungumza na Michezo na Times Msofe amesema kwa mwaka huu wana imani timu za majiji ya Tanzania zitafanya vyema na kufika mbali kwenye michuano hiyoa mbayo hufanyika kila mwaka.
Msofe ametanabai kuwa imani hiyo ya timu hizo kufanya vyema mwaka huu imekuja kufuatia wao kama viongozi wa TBF kupata taarifa nzuri za maandalizi kutoka kwa viongozi wa vyama mikoa inakayounda timu za majiji.

No comments :

Post a Comment