Katibu mkuu wa shirikisho la mpira wa kikapu nchini TBF Alexender Msofe amesema wameandaa mikakati mizito ya kuzisaidia timu za majiji ya Tanzania ili ziweze kufanya vyema kwenye michuano ya majiji inayotarajia kuanza March 22 katika jiji la Mombasa nchini Kenya.
Akizungumza na Michezo na Times Msofe amesema kwa mwaka huu wana imani timu za majiji ya Tanzania zitafanya vyema na kufika mbali kwenye michuano hiyoa mbayo hufanyika kila mwaka.
Msofe ametanabai kuwa imani hiyo ya timu hizo kufanya vyema mwaka huu imekuja kufuatia wao kama viongozi wa TBF kupata taarifa nzuri za maandalizi kutoka kwa viongozi wa vyama mikoa inakayounda timu za majiji.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment