Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, March 23, 2010

FIFA KUSIKILIZA KESI YA SHAMBULIO LA ALGERIA MISRI

Shirikisho la kandanda Duniani FIFA inatarajiwa kusikiliza madai ya shambulio lililofanywa nchin Misri wakati Algeria kabla ya mchezo wao wa kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia mjini Cairo tarehe 15 April.FIFA imesema kwamba kamati ya nidhamu itasikiliza kesi hiyo watakapokutana Zurich.
kwa mujibu wa sheria za kinidhamu za FIFA zinaitaka nchi mwenyeji kuhakikisha usalama wa wageni.
Chama cha soka cha Misri kinaweza kutozwa fainali, ama wanaweza kupewa adhabu ya kutochezewa michezo ya kimataifa nchini mwao.wachezaji wa Algeria na viongozi wao walijeruhiwa na vioo vilivyopasuliwa kwa kushambuliwa na mawe na mashabiki wa Misri kabla ya mchezo mwaka jana mwezi Novemba.
Misri ilishinda mchezo huo kwa magoli 2-0 na kulazimisha kuchezwa mchezo wa mtoano nchini Sudan, ambapo Algeria ilishinda 1-0 na kufanikiwa kutinga fainali za kombe la Dunia nchini Afrika Kusini.

No comments :

Post a Comment