Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, July 17, 2014

MAZOEZI YANAENDEREA KAMBI YA NGUMI ILALA


Bondia bingwa wa mkanda wa WPBF Africa Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanya mazoezi ya kupiga beg katika kambi ya Ilala iliyopo Amana Ccm Dar es salaam jana Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia bingwa wa mkanda wa WPBF Africa Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akifanya mazoezi ya kupiga beg katika kambi ya Ilala iliyopo Amana Ccm Dar es salaam jana Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Lulu Kayage akielekezwa jinsi ya kupiga upcat na kocha Kondo Nassoro katika mazoezi yanayoendelea kambi ya Ilala Amana Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Juma Biglee wakati wa mazoezi yanayo endelea katika kambi ya Amana CCM Ilala Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Juma Biglee kushoto akipambana na Ibrahimu Class 'King class Mawe' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Amana Ilala CCM Dar es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment