Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Watu wa China, Jenerali Chang Wanquan
(Kulia) na waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Hussein Mwinyi
wakikagua gwaride rasmi lililoandaliwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi
wa Tanzania katika viwanja vya Wizara ya Ulinzi na JKT, Dar es Salaam
leo.(PICHA KWA HISANI YA JWTZ)
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
5 days ago

No comments :
Post a Comment