Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Watu wa China, Jenerali Chang Wanquan
(Kulia) na waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Hussein Mwinyi
wakikagua gwaride rasmi lililoandaliwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi
wa Tanzania katika viwanja vya Wizara ya Ulinzi na JKT, Dar es Salaam
leo.(PICHA KWA HISANI YA JWTZ)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment