Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Watu wa China, Jenerali Chang Wanquan
(Kulia) na waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Hussein Mwinyi
wakikagua gwaride rasmi lililoandaliwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi
wa Tanzania katika viwanja vya Wizara ya Ulinzi na JKT, Dar es Salaam
leo.(PICHA KWA HISANI YA JWTZ)
NGORONGORO HAKUNA KULALA SABASABA.
-
Tukio la Ngorongoro kuonesha vivutio vya utalii mubashara kupitia runings
kubwa iliyofungwa katika banda la Wizara ya Maliasili na Utalii
limevutia wanan...
1 day ago

No comments :
Post a Comment