Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Watu wa China, Jenerali Chang Wanquan
(Kulia) na waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dk. Hussein Mwinyi
wakikagua gwaride rasmi lililoandaliwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi
wa Tanzania katika viwanja vya Wizara ya Ulinzi na JKT, Dar es Salaam
leo.(PICHA KWA HISANI YA JWTZ)
MAKALLA,LAIZER WAZINADI FURSA ZA UTALII NA UWEKEZAJI NGORONGORO
-
Naibu Kamishna wa Uhifadhi, Huduma za Shirika Ngorongoro Bw. Aidan Makalla
(kulia) akiwa ameambatana na Abdiel Laizer Afisa Utalii Mkuu Msaidizi
amekutan...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment