Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 28, 2014

MWANAMUZIKI ALI KIBA ATEMBELEA CHUMBA CHA HABARI CHA GAZETI LA JAMBO LEO DAR ES SALAAM LEO


 Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni  ya Jambo Concepts (T), Limited, Juma Pinto (kushoto), akipokea CD yenye nyimbo mbili za Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Ali Kiba wakati alipotembelea ofisi za gazeti hili Dar es Salaam leo kutambulisha nyimbo hizo pamoja na kuelezea mikakati yake ya baadaye kimuziki.
 Ali Kiba alimkabidhi CD Mkurugenzi wa Kampuni ya Jambo Concepts (T), Limited, Benny Kisaka.
  Ali Kiba alimkabidhi CD, Mmiliki wa Blog ya Wananchi, William Malecela.
 Mwandishi wa Habari wa Gazeti la Jambo Leo, Nyendo Mohamed (kulia), akimtambulisha Ali Kiba kwa waandishi wwenzake.
 Mpiga picha Mkuu wa Gazeti la Jambo Leo, Richard Mwaikenda (kulia), akimueleza jambo Ali Kiba.
 Ali Kiba akisalimiana na Mhariri wa Makala wa Gazeti la Jambo Leo, Robert Hokororo.
 Ali Kiba akisalimiana na Mwandishi Mwandamizi wa Gazeti la Jambo Leo, Neema Mgonja.
 Ali Kiba akisalimiana na Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Jambo Leo, Anicetus Mwesa.
Ali Kiba akisalimiana na Msanifu kurasa Msaidizi wa Gazeti la Jambo Leo, Hamza Mussa.Imeandaliwa na www.habari za jamii.com-simu namba 0712-727062.

No comments :

Post a Comment