Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 20, 2014

Mlezi wa kwaya ya Kanisa Katholiki ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga atoa msaada wa bidhaa mbali mbali kwa kituo cha kulelewa Watoto Yatima cha Casa Della Diaia,Tanga


Mlezi wa kwaya ya Kanisa Katholiki ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga ya Kigango cha Mtakatifu Peter Feba Mabibo,Parokia ya Mtakatifu  Yohana Mbatizaji Luhanga Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Francisn Mihayo na kiwakabidhi watoto wa kituo cha kulelewa Watoto Yatima cha Casa Della Diaia(Nyuma ya furaha) cha Bombo Tanga, msaada wa vyakula na  vitu mbalimbali walipotembelea kituo hicho mwishoni mwa wiki.
Mlezi wa kwaya ya Kanisa Katholiki ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga ya Kigango cha Mtakatifu Peter Feba Mabibo,Parokia ya Mtakatifu  Yohana Mbatizaji Luhanga Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Francis Mihayo  akiwakabidhi mlezi wa watoto wa kituo cha Casa Della Dioia(Nyumba ya  Furaha),Sister Consolata cha Bombo Tanga msaada wa vyakula na vitu mbalimbali walipotembelea kituo hicho mwishoni mwa wiki.
Mlezi wa kwaya ya Kanisa Katholiki ya Mtakatifu Aloyce Gonzaga  ya Kigango cha Mtakatifu Peter Feba Mabibo,Parokia ya Mtakatifu  Yohana Mbatizaji Luhanga Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Sylvester Tyienyi akiwaamembeba mmoja na watoto waishio katika mazingira magumu  wa kituo cha Casa Della Dioia(Nyumba ya Furaha) mkoani Tanga walipotembelea kituo hicho mwishoni mwa wiki.

No comments :

Post a Comment