Meneja
Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw Sylvester Manyara (kushoto)
akimkabidhi funguo ya gari mshindi wa jumla wa promosheni ya Pambika na
Samsung Bw. Juma Musa Ramadhani mkazi wa Tabata Segerea jijini Dar es
Salaam mara wakati wa hafla ya kukabidhi rasmi zawadi hiyo ya Mitsubishi
Double Cabin, tukio linaloshuhudiwa kwa ukaribu na Msimamizi muandamizi
toka bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bw. Bakari Maggid wa
kwanza kulia.
JARIBIO LA KWANZA LA ZAO LA VIAZI MVIRINGO MKOANI DODOMA LAONYESHA
MAFANIKIO MAKUBWA
-
Dodoma
Jaribio la kwanza la Mbegu ya viazi mviringo lililotafitiwa na Taasisi ya
Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) limeonesha mafanikio makubwa mkoani
D...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment