Meneja
Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw Sylvester Manyara (kushoto)
akimkabidhi funguo ya gari mshindi wa jumla wa promosheni ya Pambika na
Samsung Bw. Juma Musa Ramadhani mkazi wa Tabata Segerea jijini Dar es
Salaam mara wakati wa hafla ya kukabidhi rasmi zawadi hiyo ya Mitsubishi
Double Cabin, tukio linaloshuhudiwa kwa ukaribu na Msimamizi muandamizi
toka bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bw. Bakari Maggid wa
kwanza kulia.
WAKAZI WA DAR ES SALAAM WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA UPASUAJI WA MABUSHA BURE
-
*Wizara ya Afya imeanza kambi maalum ya siku 30 ya upasuaji na uchunguzi
wa magonjwa ya mabusha na matende kwa wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.*
*Kamb...
1 day ago
No comments :
Post a Comment