Meneja
Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw Sylvester Manyara (kushoto)
akimkabidhi funguo ya gari mshindi wa jumla wa promosheni ya Pambika na
Samsung Bw. Juma Musa Ramadhani mkazi wa Tabata Segerea jijini Dar es
Salaam mara wakati wa hafla ya kukabidhi rasmi zawadi hiyo ya Mitsubishi
Double Cabin, tukio linaloshuhudiwa kwa ukaribu na Msimamizi muandamizi
toka bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bw. Bakari Maggid wa
kwanza kulia.
BALOZI MATINYI AHIMIZA WAFANYA BIASHARA KUSHIRIKI MAONESHO ALGERIA
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akipatiwa maelezo
ya namna kampuni ya Riad Hanieth Food Supplies ya Jordan yenye tawi lake
nchi...
3 days ago
No comments :
Post a Comment