Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 31, 2013

Samsung Tanzania yapata Ongezeko la wateja Kusajili bidhaa kwa zaidi ya 30%


Meneja Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw Sylvester Manyara (kushoto) akimkabidhi funguo ya gari mshindi wa jumla wa promosheni ya Pambika na Samsung Bw. Juma Musa Ramadhani mkazi wa Tabata Segerea jijini Dar es Salaam mara wakati wa hafla ya kukabidhi rasmi zawadi hiyo ya Mitsubishi Double Cabin, tukio linaloshuhudiwa kwa ukaribu na Msimamizi muandamizi toka bodi ya michezo ya kubahatisha Tanzania Bw. Bakari Maggid wa kwanza kulia.

No comments :

Post a Comment