![]() |
| Waumini wa Kanisa la Anglikana Ilela Ludewa wakimshangilia mbunge wao Deo Filikunjombe wakati akitolea ufafanuzi wa misaada anayoitoa kanisani hapo ,wakati wa ibada ya Krismas |
![]() |
| Mmoja kati ya waumini wa kanisa hilo akishukuru kwa kulala chini wakati mbunge wao akitoa misada yake |
![]() |
| Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe wa pili kulia akikabidhi msaada wa marumaru seti 100 kwa mchungaji wa kanisa la Anglikana mtaa wa Ilele Ludewa mchungaji Canon Ngoye |
![]() |
| Wananchi na waumini wa kanisa la Anglikana mtaa wa Ilela Ludewa wakimuwekea mikono ya baraka mbunge Deo Filikujombe baada ya kukabidhi misaada kanisan i hapo |
![]() |
| Waumini wa kanisa la Anglikana mtaa wa Ilela Ludewa akifurahi pamoja na mke wa mbunge Deo Filikunjombe Bi Habiba Filikujombe mwenye nguo nyekundu kati |
![]() |
| Waumini wa kanisa hilo wakimshangilia mbunge wao |
![]() |
| Mmoja kati ya waumini wa kanisa hilo akimfuta jasho mbunge Deo Filikunjombe kama ahsante kwa kuwajali wapiga kura wake |
![]() |
| Mbunge Filikunjombe akitoa neno kwa wapiga kura wake kanisani hapo |









No comments :
Post a Comment