Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, December 15, 2013

MAMA SALMA KIKWETE AJUMUIKA NA WATOTO YATIMA KWENYE SHEREHE YA MWAKA




Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akimpatia zawadi ya Krismas na Mwaka Mpya Binti Asnah Sudi, kutoka kituo cha kulelea watoto yatima cha Umra kilichoko Magomeni, wakati wa sherehe ya mwaka kwa watoto yatima aliyoiandaa kwa kushirikiana na Twiga Cement na Klabu ya Rotary ya Dar es Salaam tarehe 14.12.2013.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiangalia baadhi ya michezo iliyokuwa ikichezwa na watoto yatima kutoka baadhi ya vituo hapa Dar es Salaam kwenye sherehe ya mwaka ya watoto hao iliyofanyika tarehe14.12.2013.
Father Krismas akiwagawia watoto yatima zawadi zao wakati wa hafla iliyoandaliwa na Mama Salma Kikwete kwenye ofisi za WAMA, tarehe 14.12.2013.
Baadhi ya watoto yatima kutoka vituo vya kulelea vya, Umra, Kurasini MUMalaika wakiwa katika hafla ya kumaliza mwaka zilizofanyika kwenye ofisi za WAMA. Sherehe hiyo iliandaliwa kwa pamoja na Twiga Cement, Rotary Club na WAMA tarehe 14.12.2013.PICHA NA JOHN LUKUWI

No comments :

Post a Comment