Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, December 7, 2013

SUPERSHINE MODERN TAARABU YAINGIA KTK 5 BORA ZA MITIKISIKO YA PWANI 2013...!



Kais Mussa Kais (Mzee wa Fitina).
Bendi inayokuja kwa kasi ya ajabu Supershine Modern Taarabu imeweza kuingia katika tamasha la mitikisiko ya pwani 2013 ambalo litafanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala siku ya jumamosi tarehe 14. 

Supershine imeonesha ukomavu mkubwa baada ya kuzipiku bendi zingine kubwa ambazo hazikufanikiwa kuingia katika tamasha hilo.
Bendi ambazo hazikuchagulia ni pamoja na Coast Modern Taarabu, Kings Modern Taarabu, T. Moto na nyinginezo...

Bendi zilizoingia top 5 ni:
Supershine Modern Taarabu, 
Jahazi Modern Taarabu, 
Five Stars, 
East African Melody na Mashauzi Classic

Akizungumza na blog hii ya Taarabu Zetu meneja wa Supershine Kais Mussa Kais ukipenda muite "Mzee wa Fitina" alisema, mwaka huu kulikuwa na ushindani mkubwa sana mchujo ulifanyika zaidi ya mara 2 katika kutafuta ni bendi ipi ya kushiriki tamasha la mwaka huu, lakini kikubwa nawashukuru sana wadau kwa kutuchagua kwa kura zao nasi tunawaahidi burudani nzuri.

No comments :

Post a Comment