Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, December 25, 2013

Balozi Peter Kalaghe akutana na Msanii Shilole


.





Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza,Mh. Peter Kallaghe akiwa katika  mazungumzo na Msanii wa Muziki wa mduara nchini, Zuwena Mohamed 'Shilole' wakati alipotembelea Ubalozini nchini Uingereza.Shilole yupo nchini Uingereza kwa ajili ya shoo moja iliyofanyika usiku wa kuamkia leo Ville 640 Ripple road ndani ya Barking IG11 0SR.kwa ushirikiano na Msanii mwenzake AT a.k.a Mfalme wa Mduara.
Balozi Peter Kalaghe akijungumza jambo na Mdau Ayoub Mzee wakati alipoongozana na Msanii Shilole ubalozini hapo.

No comments :

Post a Comment