Meneja
Mauzo na Usambazaji wa Samsung Tanzania Bw. Sylvester Manyara (katikati)
akichezesha droo ya nne ya Pambika na Samsung huku akishuhudiwa na Msimamizi
toka Bodi ya michezo ya kubahatisha Bw. Emmanuel Ndaki (Kushoto) huku kulia ni
Mratibu wa Pambika na Samsung Bw. Lawrence Andrew.
WAKAZI WA DAR ES SALAAM WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA UPASUAJI WA MABUSHA BURE
-
*Wizara ya Afya imeanza kambi maalum ya siku 30 ya upasuaji na uchunguzi
wa magonjwa ya mabusha na matende kwa wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.*
*Kamb...
1 day ago
No comments :
Post a Comment