meneja wa masoko wa kampuni ya Konyagi Joseph Chibehe,(Kulia)
akimkabidhi kepteni wa timu ya Mwambao Selemani Lugono baada ya timu
hiyokuibuka washindi wapili katika ligi ya kawambwa cup iliyomalizika
Mjini Bagamoyo mwishoni mwa wiki Wanaoshuhudiakutokakulia ni Mbunge wa
jimbo hilo Dr Shukuru Kawambwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa BMT Idi
KIpingu
BANGO LA OSHA LIKIKOSEKANA OFISINI KWAKO TOA TAARIFA
-
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafangakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini
Nyamhokya amewataka wafanyakazi kutoa taarifa iwapo wataona ofisi zao
hazina tanga...
4 days ago
No comments :
Post a Comment