meneja wa masoko wa kampuni ya Konyagi Joseph Chibehe,(Kulia)
akimkabidhi kepteni wa timu ya Mwambao Selemani Lugono baada ya timu
hiyokuibuka washindi wapili katika ligi ya kawambwa cup iliyomalizika
Mjini Bagamoyo mwishoni mwa wiki Wanaoshuhudiakutokakulia ni Mbunge wa
jimbo hilo Dr Shukuru Kawambwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa BMT Idi
KIpingu
RAIS SAMIA AFANYA MAZUNGUMZO NA BARAZA LA MAASKOFU WA KATOLIKI TANZANIA
(TEC)
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amekutana na
kufanya mazungumzo na viongozi wa Kanisa Katoliki nchini kupitia Baraza la
Maa...
15 hours ago
No comments :
Post a Comment