Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, December 20, 2013

IDDY MNYEKE AMPANIA COSMAS CHEKA DESEMBA 31



Bondia Iddy Mnyeke  akipambana na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mazoezi yaliyofanyika katika kambi ya Ilala  Amana CCM Dar es salaam mabondia hawo watapanda ulingoni kuwakabili wapinzani wao ambapo Mnyeke atacheza na Cosmas Cheka na King class mawe atazidunda na Mohamed Kashinde desemba 31 katika ukumbi wa msasani klabu  kulia ni kocha Mkongwe Habibu Kinyogoli 'Masta' Picha na BLOG YA SUPER D

Na Mwandishi Wetu 
BONDIA Iddy Mnyeke  yupo katika mazoezi mazito akijiandaa na mpambano wake na Cosmas Cheka utakaofanyika desemba 31 katika ukumbi wa msasani klabu jijini ar es salaam 

akizungumzia mpambano huo mnyeke amesema cheka ni mtoto mdogo sana anazani anaweza kusafiria nyota ya kaka yake ajue ameingia anga nyingine hivyo ata kiona cha mchema kuni kwa  mimi sio kama mabondia aliewai kuwashinda

Mnyeke ambaye anafanya mazoezi katika kambi ya ilala jijini Dar es salaam ameongeza kwa kusema siku hiyo watu waje kwa wingi wangalie anavyo mchakaza na kuongeza kuwa waje yeye na kaka yake ili apate msaada wakati atakapo mwangusha chini kwa ngumi kali misri ya nondo

ambazo zitakazo msambalatisha raundi za awari kwani yeye ni cha mtoto kwake
Add caption
Katika mchezo huo kutakuwa na michezo mingine ambapo  bondia  Ibrahimu Class 'King Class Mawe'  ataoneshana ubabe na Mohamed Kashinde,Antony Mathias akizipiga na Fadhili Majiha katika mchezo mwingine ni kati ya Fransic Miyeyusho wa Tanzania akizichapa na David Chalanga kutoka Kenya


Katika mpambano huo siku hiyo kutakuwa na uzwaji wa DVD za mafunzo ya mchezo wa ngumi  kali pamoja na kutambua sheria zake zikiwa na mabondia wakali kama vile
Manny Paquaio, Saul 'canelo' alverez ,Floyd Mayweathar,Mike Tyson,Mohamed Ali,Ferex Trinidad,Miguel Cotto na wengine wengi
pia kuta kuwa na vifaa vya mchezo huo vitakaokuwa vikitolewa na Super D kwa mabondia watakaofanya vizuri siku hiyo na vingine kuuzwa kwa pesa taslimu na kocha huyo kwa ajili ya kuamas

No comments :

Post a Comment