Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, December 10, 2013

Msondo, Sikinde kupambana Krismasi TCC Club Chang’ombe



Mambo ya Msondo hayoooo...
Na Mwandishi Wetu
Wafalme wa muziki wa dansi nchini bendi pizani za Msondo Ngoma “Baba ya Nuziki’ na Mlimani Park Orchestra (Wana Sikinde Ngoma ya Ukae)  watapambana siku ya Krismasi katika viwanja vya TCC Club Chang’ombe.
Mpambano huo umeandaliwa na Bob Entertainment na Keen Arts na kudhaminiwa na Konyagi na Nipashe
 Mratibu wa mchuano huo Joseph Kapinga amesema pambano hilo litakuwa la kusherekea sikukuu ya Krismasi na kufunga mwaka 2013.
 Mratibu huyo alisema kila bendi itapiga kwenye jukwaa lake ili kuondoa malamiko ya kuhujumiwa. Kila bendi itapiga muziki jukwaani kwa muda wa saa moja kabla ya nyingine kupanda.
Wakongwe wa Sikinde, Abdallah Hema (kushoto) na Rehani Bitchuka
“Litakuwa ni pambano la aina yake ukizingatia kila bendi ina vyombo vipya walivyopewa na kampuni ya Tanzania Distilleries Limited (Konyagi). 
Pia tutakuwa na michezo aina mbalimbali ya watoto,” alisema Kapinga.
Alisema mchuano huo utaanza saa nane mchana hadi majogoo.
Wadhamini wengine wa shindano hilo ni pamoja na gazeti la Nipashe, Saluti5 na CXC Africa.

No comments :

Post a Comment