Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, August 19, 2009

AZAM FC NAYO YAIFUATA KAGERA SUGER...!!!


Timu ya Azam FC imeondoka Alhamisi Alfajiri ikiwa na wachezaji 22 na Viongozi 8 kuelekea Kagera kucheza mchezo wake wa kwanza na Kagera sukari katika uwanja wa Kaitaba mechi ambayo ni ya ufunguzi wa ligi kuu ya Tanzania Bara itakayoanza Agasti 23 mwaka huu.
Mwenyekiti Msaidizi wa Klabu ya Azam FC Said Mohammed amesema ligi kuu msimu huu itakuwa na ushindani mkubwa kutokana na timu zingine kupanda daraja na hata timu ambazo zimebaki zimezidi kujiimarisha zaidi.

No comments :

Post a Comment